Latest
HUDUMA KWA JAMII
KAZI YA UTUME
MATUKIO
UAMSHO NA MATENGENEZO
IDARA ZETU
HUDUMA KWA JAMII
MORNING STAR MUSIC GLORIOUS AWARDS 2015
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 6:25 AM / comment : 0 clean-5, MATUKIO
CHANGIA IFM YAFANYIKA KATIKA KANISA LA MZIZIMA DAR ES SALAAM
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 6:09 AM / comment : 0 clean-5, MATUKIO
| Mwenyekiti wa Tawi la Tucasa ifm akitoa utambulisho kwa wageni na wenyeji waliohudhuria katika changizo hili katika ukumbi wa shule ya msingi Zanaki-Upanga Dar es salaam |
| Mwenyekiti wa Tawi la Tucasa ifm akitoa utambulisho kwa wageni na wenyeji waliohudhuria katika changizo hili katika ukumbi wa shule ya msingi Zanaki-Upanga Dar es salaam |
| Elia Ngeleja mwenyekiti wa Tucasa kanda ya Dar Es Salaam akitoa utambulisho kwa wageni waliokuja leo na akimpa nafasi mwalimu Mwakalonge kwa maneno machache. |
| Elia Mwakalonge ni kiongozi wa vijana(master guide)na mwalimu akitokea mji wa kibaha hapa akitoa mafunzo juu ya vijana. |
| Elia Mwakalonge ni kiongozi wa vijana(master guide)na mwalimu akitokea mji wa kibaha hapa akitoa mafunzo juu ya vijana. |
HEAVEN GATES SINGERS WAHUDUMU KATIKA CHANGIZO LA TUCASA IFM KWENYE UKUMBI WA SHULE YA MSINGI ZANAKI
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 4:46 AM / comment : 0 clean-5, MATUKIO
HATIMAE WANAFUNZI MWAKA WA KWANZA WAHUDUMU IBADA YA PAMOJA YA KUFUNGUA SABATO NA TUCASA IFM FAMILY
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 4:08 AM / comment : 0 clean-5, MATUKIO
![]() |
| Mwaka wa kwanza wakiimba nyimbo za kristo 172 na 51 wakati wa ibada ya kufungua sabato katika ukumbi wa St Alban Posta mkabala na Holy day inn |
![]() |
| Mwaka wa kwanza wakiimba nyimbo za kristo 172 na 51 wakati wa ibada ya kufungua sabato katika ukumbi wa St Alban Posta mkabala na Holy day inn |
![]() |
| Mwaka wa kwanza wakiimba nyimbo za kristo 172 na 51 wakati wa ibada ya kufungua sabato katika ukumbi wa St Alban Posta mkabala na Holy day inn |
TOLEO LA WIMBO"ONGOZA MAPITO" MWIMBAJI GWIRISHA MJEMA
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 2:22 PM / comment : 0 clean-5, MATUKIO
KARIBU KATIKA IBADA YA KUFUNGUA SABATO KILA IJUMAA
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 7:29 AM / comment : 0 clean-5
MUNGU BABA ZIDI KUTETEA MASHUJAA WAKO SASA...
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 9:15 PM / comment : 0 clean-5
![]() |
| BAADHI YA WANACHUO WA CHA USIMAMIZI WA FEDHA(IFM) WAKISIKILIZA MANENO YA FARAJA TOKA KWA MCHUNGAJI YOYO KATIKA MOJA YA SIKU ZA KUFUNGA NA KUOMBA... |
![]() |
| BAADHI YA WANACHUO WA CHA USIMAMIZI WA FEDHA(IFM) WAKISIKILIZA MANENO YA FARAJA TOKA KWA MCHUNGAJI YOYO KATIKA MOJA YA SIKU ZA KUFUNGA NA KUOMBA... |
![]() |
| BAADHI YA WANACHUO WA CHA USIMAMIZI WA FEDHA(IFM) WAKISIKILIZA MANENO YA FARAJA TOKA KWA MCHUNGAJI YOYO KATIKA MOJA YA SIKU ZA KUFUNGA NA KUOMBA... |
![]() |
| BAADHI YA WANACHUO WA CHA USIMAMIZI WA FEDHA(IFM) WAKISIKILIZA MANENO YA FARAJA TOKA KWA MCHUNGAJI YOYO KATIKA MOJA YA SIKU ZA KUFUNGA NA KUOMBA... |
Leo ni miongoni wa maombi ya mfungo ambayo pia yameenda sambamba na neno la faraja toka kwa Mchungaji Yoyo ambaye ni Mchungaji mlezi wetu wanafunzi wanachuo Waadventista Wasabato kwa kanda hii ya Dar Es Salaam..
Hili ni kundi dogo tu kati ya mengi Duniani,tukitokea Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM),tulipangiwa mitihani siku ya Sabato na tukaandika barua,baadhi yetu hawakujibiwa na waliojbiwa bado wamepangiwa masaa ya Sabato..
Waijua imani yako lakini wito mkuu ni UFUNUO 14:12"12 Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu."zidi kuombea kundi hili na BWANA akubariki...
FAMILY MUSIC WAJIANDAA NA VIDEO YA ALBAM MPYA
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 10:06 AM / comment : 0 clean-5
Family music ni moja kati ya vikundi vya uimbaji kinachoundwa na jumuia ya vijana waadventista wa sabato kutoka katika maeneo mbalimbali ya Union ya Kusini mwa Tanzania wakiongozwa na ndugu Ike Eric ambaye ni mwenyekiti wao.
![]() |
![]() |
![]() |
Albam hii imebeba jina la 'Usihuzunike' ina nyimbo nane ambazo ni , |
Tazama Nasimama
Twakusifu
Ninaimba wema wa Mungu.na nyinginezo
TUCASA TANZANIA UNION RETREAT 2014:LEO SAFARINI KWENDA DODOMA
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 10:04 AM / comment : 0 clean-5
THEME : "Be Faithful Unto Death" M/ SPEAKER: Pr. Mwakalonge, A/ SPEAKER: Pr. Malekana, AFYA: Prof Gesase . UJASIRIAMALI: PR. Mange, UCHUMBA/MAHUSINIANO: PR. Kingamkono, NDOA: MR$MRS ANKO CHRISS BUHATWA. SELF ESTEEM: MAMA RUTH IYEMBE. ADVENTIST LIFE STYLE: MWL KAZAGATA ,
Main Text: Revelation 2:10, Reatreat Song: No 73, ""Bwana Uniongoze juu""
>>Retreate hii kuanza kesho tarehe 18 APRIL HADI 21 APRIL 2014<<
![]() |
MWENYEKITI WA TUCASA IFM ISRAEL MCHOME AKIWA KATIKA USAFIRI TOKA DAR ES SALAAM KWENDA DODOMA |
![]() |
ANNA,MHAZINI WA TUCASA IFM KATIKA SAFARI KWENDA DODOMA |
![]() |
ENOCK AKIWA KATIKA SAFARI |
TUCASA IFM WASHIRIKI HARUSI YA PILI NA YUDA HUKO MAGODANI KUNDI LA MZIZIMA SDA CHURCH
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 7:57 PM / comment : 0 clean-5
Harusi ya wapendwa hawa imefanyika leo MAGODANI nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam na wanafunzi waadventista wasabato toka chuo cha usimamizi wa fedha (IFM ) walishiriki mahali hapa.
![]() |
MAHARUSI WAKIWA NA WATOTO WANAOSIMAMIA HARUSI HIYO |
![]() |
FAMILIA YA IFM WAKITOA ZAWADI SIKU HII YA FURAHA,KUTOKA KUSHOTO NI RUTH,ISRAEL,MJEMA NA HAPPY |
![]() |
DADA HOLLO AKIWA KATIKA MAJUKUMU |
![]() |
MAHARUSI WAKIWA NA WASIMAMIZI WAO |
MIKUTANO WA JUMA MOJA UMEANZA JANA TAREHE 24 MARCH 2014
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 11:32 PM / comment : 0 clean-5
SUBZONE MPYA YA BAGAMOYO YATENGWA RASMI
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 2:22 PM / comment : 0 clean-5
PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI TOFAUTI TOKA MACHIMBO SDA CHURCH KULIKOKUWA HITIMISHO LA JUMA LA UINJILSTI
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 5:28 AM / comment : 0 clean-5
Ni siku ya sabato ya pekee ambapo kanisa la MACHIMBO huko Kitunda likiwa katika hitimisho la juma uinjilisti ambapo wana wa MUNGU toka sehemu mbalimbali walikuja kushiriki na kanisa kwa kusudi la uinjilisti..
Baadhi ya programs zilikuwa mahala hapa ni masomo ya Afya, Ujasiliamali na vipindi vya uimbaji
TAMASHA LA 7 7 JUMAPILI -- TUCASA IFM KWAYA WAKIWA WANAIMBA
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 1:58 AM / comment : 0 clean-5
![]() |
RAFIKI ZETU FAMILY MUSIC WAKIIMBA |
![]() |
IFM CHOIR |
Ni tamasha lililoandaliwa na JCB STUDIO likidhaminiwa na TABASAM TANZANIA na MTANGAZAJI BLOG,kwa siku hii walikuja waimbaji toka sehem mbalimbali mwa Tanzania kwa kutoa ujumbe kwa njia ya uimbaji kama vile;-OOLA,FAMILY MUSIC,HOLY REUNION,LIGHT BEARERS na wengine wengi...
PICHA ZA MATUKIO TOKA MAGODANI TULIKOKUWA KWA KUSUDI LA UINJILISTI
Posted by: TUCASA IFM Posted date: 5:19 AM / comment : 0 clean-5
Ni juma moja lakini lilikuwa lenye mibaraka mingi kwani uinjilisti wa nyumba kwa nyumba uliofanywa na vijana wa TUCASA IFM wakishirikiana na kanisa mama la MZIZIMA,tumepata uzoefu mpya juu ya uinjisti na jinsi ya kuwafikia watu tofautitofauti kwa kusudi la injili....
![]() |
WADAU WAKIPATA CHAKULA MOJA KATI YA MATUKIO HUKU MAGODANI |
![]() |
SILIVAN AKIPATA UGALI WA DONA NA MBOGA ZA AFYA |
MAONI/MICHANGO TO KWA WADAU
SIKILIZA MORNING STAR REDIO HAPA
Popular Posts
-
Ni mibaraka kwa MUNGU wetu kwani ilikuwa baada ya ibada nzuri ya sabato,wana na binti za MUNGU walikusanyika kwa upendo kutoa huduma hii kw...
-
JE WAJUA MCHUMBA BORA NI YUPI NA WAKATI GANI MZURI WA KUMPATA?
-
WAALIMU TUCASA MZUMBE KWAYA VIDEO YA TUCASA MZUMBE MOROGORO-KUMWONA YESU from tucasa ifm on Vimeo .
MKUTANO WA TUCASA

































